Madiwani Manispaa ya Sumbawanga Waagiza watumishi wa3 wa ardhi wahamishwe Halmashauri.
on
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Baraza la madiwani la Manispaa ya Sumbawanga limetoa maagizo ya kuhamishwa kwa watumishi watatu wa Idara ya Ardhi ili kuepusha migogoro mingi zaid kwa wananchi.
Comments
Post a Comment