Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Wilaya ya Sumbawanga Mh. Mathew Sedoyyeka akimkabidhi taarifa na makabrasha ya ofisi kwa ishar ya Kumkabidhi Rasmi ofisi Mkuu mpya wa Wilaya ya Sumbawanga Dk. Halfan Haule |
Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Wilaya ya Sumbawanga Mh. Mathew Sedoyyeka |
Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Wilaya ya Sumbawanga Mh. Mathew Sedoyyeka akisaini nakala ya kumkabidhi ofisi Mkuu Mpya wa Wilaya Sumbawanga |
Baadhi ya Wakuu wa Idara na watumishi wa Manispaa ya Sumbawanga waliohudhuria katika hafla ya Makabidhiano ya Ofisi ya mkuu wa Wilaya katika Ukumbi mkubwa wa mikutano wa Manispaa ya Sumbawanga. |
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga Mh. Justin Malisawe (aliyesimama) akitoa mawili matatu. |
Baadhi ya Wakuu wa Idara na watumishi wa Manispaa ya Sumbawanga waliohudhuria katika hafla ya Makabidhiano ya Ofisi ya mkuu wa Wilaya katika Ukumbi mkubwa wa mikutano wa Manispaa ya Sumbawanga. |
Comments
Post a Comment