Ulinji yang'ara siku ya mazingira Duniani 5/6/2016

Injinia wa maji Manispaa ya Sumbawanga,. Kazoya Mongateko,  akisoma risala mbele ya mgeni rasmi 

Mgeni rasmi Naibu Meya wa Manispaa ya Sumbawanga akitoa hotuba fupi katika sherehe ya siku ya Mazingira Duniani


Afisa Afya, Bwana Temba (kulia) na Afisa Mazingira,(kushoto) Aligawesa Mulokozi wakiwapa zawadi watoto waliocheza vizuri kwenye maadhimisho ya siku ya mazingira duniani.


Kikundi cha ngoma kijiji cha Ulinji kikiendelea na Burudani

Kaimu RAS Mkoa wa Rukwa Ndg Kilonzo akiwa na Kaimu Mkurugenzi, Hamidu Masare katika sherehe ya siku ya Mazingira Duniani iliyofanyika kiwilaya katika kijiji cha Ulinji, kata ya Mollo, Sumbawanga.

Kikundi cha Ngoma kikiendelea na Burudani

Wananchi wakisikiliza ujumbe wa siku ya Mazingira Duniani kutoka kwa mwezeshaji



Mgeni rasmi, Naibu Meya wa Manispaa ya Sumbawanga, Mh. Anthony Choma akiwa na mwenyeji wake Diwani wa Kata ya Mollo Mh. Thomas Daniel wakielekezana jambo.

Eng. Kazoya Mongateko akiwapa mikono meza kuu baada ya kusoma risala


Wananchi na viongozi mbalimbali wakimsikiliza Mgeni rasmi Naibu Meya, Mh. Anthony Choma

Mh. Thomas Daniel Diwani wa kata ya Mollo akitoa neno la Shukrani

Bango la kutunza miti

Comments