![]() | ||
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga ndg. Hamidu Massare |
![]() |
Watumishi wa Manispaa ya Sumbawanga wakimsikiliza Afisa Utumishi ndg. Amani |
![]() |
Watumishi wa Manispaa ya Sumbawanga wakitaka kuanza maandamano. |
![]() |
Watu wa mazingira REYO wakionesha mabango yao |
![]() |
Wahudumu wa Hospitali ya Mkoa-Rukwa wakionesha namna wanavyotoa huduma |
![]() |
Wananchi wakishangaa gari la zima moto linavyomwaga maji kwenye maonesho |
![]() |
Kikundi cha ngoma asili cha Matai kikionesha umahiri wao mbele ya mgeni rasmi |
![]() |
Mgeni Rasmi Mkuu wa wilaya ya Kalambo-Rukwa Mh. William Mbonile |
![]() | |||||||||
Katibu wa TUCTA mkoa-Rukwa ndg. Amos Kabombwe akisoma Risala |
Comments
Post a Comment