![]() |
Mstahiki Meya Mh. Justin Malisawa na Naibu wake Mh. Anthony Choma wakifuatilia taarifa mbalimbali za maendeleo |
![]() |
Waheshimiwa Madiwani wakisikiliza taarifa ya Mipango miji ya Manispaa |
![]() |
Diwani wa Kata ya Mazwi Mh.
Juma S. Musa akiwasilisha taarifa ya kamati ya mipango Miji.
|
![]() |
Mh. Pascal Silwimba diwani wa kata ya Izia akiwa na Mh. Vitalis Ulaya, diwani wa kata ya Msua wakisiliza kwa makini taarifa za kamati mbalimbali za madiwani. |
![]() |
Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga ndg. Hamid Njovu akitoa ufafanuzi wa suala la kupitishwa kwa bajeti ya Manispaa, mwezi Februari,2016 kwa mwaka 2016/2017 |
![]() |
Mh. Vitalis Ulaya, diwani wa kata ya Msua, akitaka ufafanuzi wa mapato na matumizi ya manispaa ya Sumbawanga |
![]() |
Waheshimiwa madiwani wakiendelea na kikao |
![]() |
Mchumi wa Manispaa ya Sumbawanga ndg. Saad Mtambule akitoa taarifa ya miradi mbalimbali ya Manispaa ya Sumbawanga. |
![]() |
Mtahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga Mh. Justin Malisawa. akifunga mafunzo ya Usimamizi wa fedha kwa madiwani. |
![]() |
Wataalamu wa idara mbalimbali wa Manispaa ya Sumbawanga wakiendela kusikiliza taarifa za kamati za madiwani. |
Comments
Post a Comment